Watchtower MAKTABA KWENYE MTANDAO
Watchtower
MAKTABA KWENYE MTANDAO
Kiswahili
  • BIBLIA
  • MACHAPISHO
  • MIKUTANO
  • Kutoka 32:9
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 9 Naye Yehova akaendelea kumwambia Musa: “Nimewatazama watu hawa na, kumbe, ni watu wenye shingo ngumu.+

  • Kumbukumbu la Torati 9:6
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 6 Nawe ni lazima ujue kwamba Yehova Mungu wako hakupi wewe nchi hii nzuri uimiliki kwa sababu ya uadilifu wako; kwa maana ninyi ni watu wenye shingo ngumu.+

  • Zaburi 75:5
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    •  5 Msiinue pembe yenu juu.

      Msiseme mkiwa na shingo yenye kiburi.+

  • Methali 29:1
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 29 Mtu anayekaripiwa+ tena na tena lakini anayeifanya shingo yake kuwa ngumu+ atavunjika ghafula, na hivyo pasipo kuponywa.+

  • Isaya 48:4
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 4 Kwa sababu nilijua kwamba wewe ni mgumu+ na kwamba shingo yako ni kano ya chuma+ na paji la uso wako ni shaba,+

Maktaba Kwenye Mtandao (1980-2025)
Toka
Ingia
  • Kiswahili
  • Shiriki
  • Mapendezi
  • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
  • Masharti ya Utumiaji
  • Sera ya Faragha
  • Mpangilio wa Faragha
  • JW.ORG
  • Ingia
Shiriki