Hesabu 14:11 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 11 Mwishowe Yehova akamwambia Musa: “Watu hawa wataendelea kunitendea bila heshima+ mpaka wakati gani,+ nao watakosa kuniamini mpaka wakati gani ijapokuwa ishara zote ambazo nilifanya katikati yao?+ Hesabu 14:41 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 41 Lakini Musa akasema: “Kwa nini mnavunja agizo la Yehova?+ Lakini jambo hilo halitafanikiwa.
11 Mwishowe Yehova akamwambia Musa: “Watu hawa wataendelea kunitendea bila heshima+ mpaka wakati gani,+ nao watakosa kuniamini mpaka wakati gani ijapokuwa ishara zote ambazo nilifanya katikati yao?+