Watchtower MAKTABA KWENYE MTANDAO
Watchtower
MAKTABA KWENYE MTANDAO
Kiswahili
  • BIBLIA
  • MACHAPISHO
  • MIKUTANO
  • Mambo ya Walawi 26:14
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 14 “‘Hata hivyo, ikiwa hamtanisikiliza wala kutenda amri zote hizi,+

  • 2 Wafalme 21:15
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 15 kwa sababu walifanya yaliyokuwa mabaya machoni pangu nao waliendelea kunitia uchungu tangu siku ile mababu zao walipotoka Misri mpaka leo hii.’”+

  • 2 Mambo ya Nyakati 24:20
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 20 Na roho+ ya Mungu ikamfunika+ Zekaria+ mwana wa Yehoyada+ kuhani, hivi kwamba akasimama juu ya watu na kuwaambia: “Mungu wa kweli amesema hivi, ‘Kwa nini mnazivunja amri za Yehova, hivi kwamba hamwezi kufanikiwa?+ Kwa sababu mmemwacha Yehova, yeye naye atawaacha ninyi.’”+

Maktaba Kwenye Mtandao (1980-2025)
Toka
Ingia
  • Kiswahili
  • Shiriki
  • Mapendezi
  • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
  • Masharti ya Utumiaji
  • Sera ya Faragha
  • Mpangilio wa Faragha
  • JW.ORG
  • Ingia
Shiriki