Watchtower MAKTABA KWENYE MTANDAO
Watchtower
MAKTABA KWENYE MTANDAO
Kiswahili
  • BIBLIA
  • MACHAPISHO
  • MIKUTANO
  • Kumbukumbu la Torati 9:21
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 21 Nayo dhambi yenu mliyoitenda, yule ndama,+ nilimchukua, nikamteketeza katika moto na kumponda-ponda, nikamsaga kabisa mpaka akawa mavumbi laini; kisha nikayatupa mavumbi yake katika mto unaoteremka kutoka mlimani.+

  • Kumbukumbu la Torati 31:29
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 29 Kwa maana najua vema kwamba baada ya kifo changu hakika mtatenda kwa uharibifu,+ nanyi hakika mtageuka kando kutoka katika njia ambayo nimewaamuru ninyi; na msiba+ lazima utawaangukia mwishoni mwa siku hizo, kwa sababu mtafanya yaliyo mabaya machoni pa Yehova ili kumtia uchungu kwa kazi za mikono yenu.”+

  • Waamuzi 2:13
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 13 Hivyo wakamwacha Yehova, wakaanza kutumikia Baali na sanamu za Ashtorethi.+

  • Zaburi 106:36
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 36 Nao waliendelea kutumikia sanamu zao,+

      Nazo zikawa mtego kwao.+

  • Ezekieli 20:4
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 4 “Je, utawahukumu? Je, utawahukumu, Ee mwana wa binadamu?+ Wajulishe machukizo ya mababu zao.+

  • Matendo 7:53
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 53 ninyi mliopokea Sheria kama ilivyopitishwa na malaika+ lakini hamkuishika.”

Maktaba Kwenye Mtandao (1980-2025)
Toka
Ingia
  • Kiswahili
  • Shiriki
  • Mapendezi
  • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
  • Masharti ya Utumiaji
  • Sera ya Faragha
  • Mpangilio wa Faragha
  • JW.ORG
  • Ingia
Shiriki