20 Kisha akaichukua ile ndama waliyokuwa wameifanya naye akaiteketeza kwa moto na kuipondaponda mpaka ikawa laini,+ kisha akaitawanya juu ya maji+ na kuwalazimisha wana wa Israeli wanywe.+
22 Nanyi mtakitia unajisi kifuniko cha sanamu zenu za kuchongwa za fedha+ na kifuniko kinachobana cha sanamu yenu ya kuyeyushwa+ ya dhahabu.+ Utazitawanya.+ Kama mwanamke mwenye hedhi, utaiambia hivi: “Uchafu mtupu!”+