2 Mambo ya Nyakati 23:11 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 11 Kisha wakamtoa nje mwana wa mfalme,+ wakamvika taji+ na ule Ushuhuda,+ wakamfanya kuwa mfalme, hivyo Yehoyada na wanawe wakamtia mafuta+ na kusema: “Mfalme na aishi!”+
11 Kisha wakamtoa nje mwana wa mfalme,+ wakamvika taji+ na ule Ushuhuda,+ wakamfanya kuwa mfalme, hivyo Yehoyada na wanawe wakamtia mafuta+ na kusema: “Mfalme na aishi!”+