20 Roho ya Mungu ikamjia Zekaria mwana wa kuhani Yehoyada,+ naye akasimama mahali palipo juu mbele ya watu na kuwaambia: “Mungu wa kweli anasema hivi: ‘Kwa nini mnazivunja amri za Yehova? Hamtafanikiwa! Kwa sababu mmemwacha Yehova, yeye naye, atawaacha ninyi.’”+