18 Na roho+ ikamfunika Amasai, kichwa cha wale 30:
“Sisi ni wako, Ee Daudi, nasi tuko pamoja nawe,+ Ee mwana wa Yese.
Amani, amani iwe yako, na amani kwa yule anayekusaidia,
Kwa maana Mungu wako amekusaidia.”+
Basi Daudi akawapokea, akawaweka kati ya vichwa vya vikosi.+