-
1 Mambo ya Nyakati 12:18Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
-
-
18 Kisha roho ikamjia* Amasai,+ kiongozi wa wale 30, akasema:
“Sisi ni wako, Ee Daudi, nasi tuko pamoja nawe, Ee mwana wa Yese.+
Amani, amani iwe yako, na amani iwe na yule anayekusaidia,
Kwa maana Mungu wako anakusaidia.”+
Basi Daudi akawakaribisha na kuwaweka wawe miongoni mwa viongozi wa wanajeshi.
-