Waamuzi 6:34 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 34 Na roho ya Yehova+ ikamfunika Gideoni naye akaanza kupiga baragumu,+ na Waabiezeri+ wakakusanywa pamoja kumfuata. Waamuzi 13:25 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 25 Baada ya muda roho ya Yehova+ ikaanza kumchochea katika Mahane-dani+ kati ya Sora+ na Eshtaoli.+
34 Na roho ya Yehova+ ikamfunika Gideoni naye akaanza kupiga baragumu,+ na Waabiezeri+ wakakusanywa pamoja kumfuata.