10 Basi roho+ ya Yehova ikaja juu yake, naye akawa mwamuzi wa Israeli. Alipoenda vitani, Yehova akamtia Kushan-rishathaimu mfalme wa Siria mkononi mwake na mkono wake ukamshinda nguvu+ Kushan-rishathaimu.
29 Sasa roho ya Yehova ikaja juu ya Yeftha,+ naye akapita katika Gileadi na Manase, akapita katika Mispe la Gileadi,+ na kutoka Mispe la Gileadi akapita kwenda kwa wana wa Amoni.