Watchtower MAKTABA KWENYE MTANDAO
Watchtower
MAKTABA KWENYE MTANDAO
Kiswahili
  • BIBLIA
  • MACHAPISHO
  • MIKUTANO
  • Waamuzi 3:10
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 10 Basi roho+ ya Yehova ikaja juu yake, naye akawa mwamuzi wa Israeli. Alipoenda vitani, Yehova akamtia Kushan-rishathaimu mfalme wa Siria mkononi mwake na mkono wake ukamshinda nguvu+ Kushan-rishathaimu.

  • Waamuzi 6:34
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 34 Na roho ya Yehova+ ikamfunika Gideoni naye akaanza kupiga baragumu,+ na Waabiezeri+ wakakusanywa pamoja kumfuata.

  • Waamuzi 11:29
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 29 Sasa roho ya Yehova ikaja juu ya Yeftha,+ naye akapita katika Gileadi na Manase, akapita katika Mispe la Gileadi,+ na kutoka Mispe la Gileadi akapita kwenda kwa wana wa Amoni.

  • 1 Samweli 11:6
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 6 Na roho+ ya Mungu ikaanza kutenda kazi juu ya Sauli alipoyasikia maneno hayo, hasira yake ikawaka sana.+

  • Mathayo 4:1
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 4 Ndipo Yesu akaongozwa na roho kuingia nyikani+ ili kujaribiwa+ na Ibilisi.

Maktaba Kwenye Mtandao (1980-2025)
Toka
Ingia
  • Kiswahili
  • Shiriki
  • Mapendezi
  • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
  • Masharti ya Utumiaji
  • Sera ya Faragha
  • Mpangilio wa Faragha
  • JW.ORG
  • Ingia
Shiriki