Watchtower MAKTABA KWENYE MTANDAO
Watchtower
MAKTABA KWENYE MTANDAO
Kiswahili
  • BIBLIA
  • MACHAPISHO
  • MIKUTANO
  • Waamuzi 3:10
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 10 Basi roho+ ya Yehova ikaja juu yake, naye akawa mwamuzi wa Israeli. Alipoenda vitani, Yehova akamtia Kushan-rishathaimu mfalme wa Siria mkononi mwake na mkono wake ukamshinda nguvu+ Kushan-rishathaimu.

  • Waamuzi 6:34
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 34 Na roho ya Yehova+ ikamfunika Gideoni naye akaanza kupiga baragumu,+ na Waabiezeri+ wakakusanywa pamoja kumfuata.

  • Waamuzi 11:29
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 29 Sasa roho ya Yehova ikaja juu ya Yeftha,+ naye akapita katika Gileadi na Manase, akapita katika Mispe la Gileadi,+ na kutoka Mispe la Gileadi akapita kwenda kwa wana wa Amoni.

  • Waamuzi 14:6
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 6 Ndipo roho ya Yehova ikaanza kutenda kazi juu yake,+ naye akampasua vipande viwili, kama vile mtu anavyompasua mwana-mbuzi vipande viwili, wala hapakuwa na kitu chochote mkononi mwake. Naye hakumwambia baba yake wala mama yake jambo alilokuwa amefanya.

  • 1 Samweli 10:10
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 10 Basi wakatoka hapo wakaenda kwenye kilima, na tazama, kulikuwa na kikundi cha manabii kikija kumpokea; ndipo mara moja roho ya Mungu ikaanza kutenda kazi juu yake,+ naye akaanza kusema kama nabii+ katikati yao.

  • 1 Samweli 16:13
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 13 Basi Samweli akachukua ile pembe ya mafuta,+ akamtia mafuta katikati ya ndugu zake. Na roho ya Yehova ikaanza kutenda kazi juu ya Daudi kuanzia siku hiyo na kuendelea.+ Baadaye Samweli akasimama, akaenda zake mpaka Rama.+

Maktaba Kwenye Mtandao (1980-2025)
Toka
Ingia
  • Kiswahili
  • Shiriki
  • Mapendezi
  • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
  • Masharti ya Utumiaji
  • Sera ya Faragha
  • Mpangilio wa Faragha
  • JW.ORG
  • Ingia
Shiriki