6 Ndipo roho ya Yehova ikaanza kutenda kazi juu yake,+ naye akampasua vipande viwili, kama vile mtu anavyompasua mwana-mbuzi vipande viwili, wala hapakuwa na kitu chochote mkononi mwake. Naye hakumwambia baba yake wala mama yake jambo alilokuwa amefanya.
13 Basi Samweli akachukua ile pembe ya mafuta,+ akamtia mafuta katikati ya ndugu zake. Na roho ya Yehova ikaanza kutenda kazi juu ya Daudi kuanzia siku hiyo na kuendelea.+ Baadaye Samweli akasimama, akaenda zake mpaka Rama.+
6 Basi akajibu na kuniambia: “Hili ndilo neno la Yehova kwa Zerubabeli, akisema, “Si kwa jeshi,+ wala kwa nguvu,+ bali kwa roho yangu,”+ Yehova wa majeshi amesema.
5 Si kwamba sisi wenyewe tuna sifa za kustahili vya kutosha kuhesabu kuwa jambo lolote linatoka kwetu wenyewe,+ bali kuwa kwetu na sifa za kustahili vya kutosha hutoka kwa Mungu,+