Waamuzi 13:25 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 25 Baada ya muda roho ya Yehova+ ikaanza kumchochea katika Mahane-dani+ kati ya Sora+ na Eshtaoli.+ Zekaria 4:6 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 6 Basi akajibu na kuniambia: “Hili ndilo neno la Yehova kwa Zerubabeli, akisema, “Si kwa jeshi,+ wala kwa nguvu,+ bali kwa roho yangu,”+ Yehova wa majeshi amesema.
6 Basi akajibu na kuniambia: “Hili ndilo neno la Yehova kwa Zerubabeli, akisema, “Si kwa jeshi,+ wala kwa nguvu,+ bali kwa roho yangu,”+ Yehova wa majeshi amesema.