Waamuzi 14:6 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 6 Ndipo roho ya Yehova ikamtia nguvu,+ naye akampasua simba huyo vipande viwili, kama mtu anavyompasua mwanambuzi kwa mikono yake. Lakini hakumwambia baba yake au mama yake jambo alilofanya. Waamuzi Fahirisi ya Machapisho ya Watch Tower 1996-2012 14:6 w05 1/15 31 Waamuzi Mwongozo wa Utafiti wa Mashahidi wa Yehova—Toleo la 2019 14:6 The Watchtower,1/15/2005, uku. 31
6 Ndipo roho ya Yehova ikamtia nguvu,+ naye akampasua simba huyo vipande viwili, kama mtu anavyompasua mwanambuzi kwa mikono yake. Lakini hakumwambia baba yake au mama yake jambo alilofanya.