12 na kujichagulia wakuu wawe juu ya watu 1,000+ na wakuu wawe juu ya watu 50,+ na baadhi yao wamlimie+ na kuvuna mavuno+ yake na kutengeneza silaha zake za vita+ na vyombo vya magari yake.+
7 Ndipo Sauli akawaambia watumishi wake waliokuwa wamemzunguka: “Tafadhali, sikilizeni, enyi Wabenyamini. Je, mwana wa Yese+ atawapa ninyi nyote mashamba na mizabibu?+ Je, atawaweka nyote kuwa wakuu wa maelfu+ na wakuu wa mamia?