27 Na ikawa kwamba, katika siku iliyofuata mwezi mpya, katika siku ya pili, mahali pa Daudi paliendelea kuwa wazi. Kwa hiyo Sauli akamwambia Yonathani mwana wake: “Kwa nini mwana wa Yese+ hakuja kwenye mlo jana wala leo?”
10 Lakini Nabali akawajibu watumishi wa Daudi na kusema: “Daudi ni nani,+ na mwana wa Yese ni nani? Siku hizi watumishi wanaotoroka, kila mmoja kutoka mbele ya bwana wake, wamekuwa wengi.+