1 Samweli 20:27 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 27 Siku ya pili baada ya mwezi mpya, bado mahali pa Daudi palikuwa wazi. Kwa hiyo Sauli akamuuliza Yonathani mwana wake: “Kwa nini mwana wa Yese+ hakuja kwenye mlo jana wala leo?”
27 Siku ya pili baada ya mwezi mpya, bado mahali pa Daudi palikuwa wazi. Kwa hiyo Sauli akamuuliza Yonathani mwana wake: “Kwa nini mwana wa Yese+ hakuja kwenye mlo jana wala leo?”