1 Samweli 20:27 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 27 Na ikawa kwamba, katika siku iliyofuata mwezi mpya, katika siku ya pili, mahali pa Daudi paliendelea kuwa wazi. Kwa hiyo Sauli akamwambia Yonathani mwana wake: “Kwa nini mwana wa Yese+ hakuja kwenye mlo jana wala leo?”
27 Na ikawa kwamba, katika siku iliyofuata mwezi mpya, katika siku ya pili, mahali pa Daudi paliendelea kuwa wazi. Kwa hiyo Sauli akamwambia Yonathani mwana wake: “Kwa nini mwana wa Yese+ hakuja kwenye mlo jana wala leo?”