12 Basi Daudi alikuwa mwana wa yule Mwefrathi+ kutoka Bethlehemu ya Yuda ambaye jina lake lilikuwa Yese. Naye alikuwa na wana wanane.+ Na katika siku za Sauli mtu huyo alikuwa tayari ni mzee kati ya watu.
7 Ndipo Sauli akawaambia watumishi wake waliokuwa wamemzunguka: “Tafadhali, sikilizeni, enyi Wabenyamini. Je, mwana wa Yese+ atawapa ninyi nyote mashamba na mizabibu?+ Je, atawaweka nyote kuwa wakuu wa maelfu+ na wakuu wa mamia?