Watchtower MAKTABA KWENYE MTANDAO
Watchtower
MAKTABA KWENYE MTANDAO
Kiswahili
  • BIBLIA
  • MACHAPISHO
  • MIKUTANO
  • Ruthu 4:22
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 22 na Obedi akamzaa Yese;+ na Yese akamzaa Daudi.+

  • 1 Samweli 17:12
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 12 Basi Daudi alikuwa mwana wa yule Mwefrathi+ kutoka Bethlehemu ya Yuda ambaye jina lake lilikuwa Yese. Naye alikuwa na wana wanane.+ Na katika siku za Sauli mtu huyo alikuwa tayari ni mzee kati ya watu.

  • 1 Samweli 22:7
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 7 Ndipo Sauli akawaambia watumishi wake waliokuwa wamemzunguka: “Tafadhali, sikilizeni, enyi Wabenyamini. Je, mwana wa Yese+ atawapa ninyi nyote mashamba na mizabibu?+ Je, atawaweka nyote kuwa wakuu wa maelfu+ na wakuu wa mamia?

Maktaba Kwenye Mtandao (1980-2025)
Toka
Ingia
  • Kiswahili
  • Shiriki
  • Mapendezi
  • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
  • Masharti ya Utumiaji
  • Sera ya Faragha
  • Mpangilio wa Faragha
  • JW.ORG
  • Ingia
Shiriki