1 Samweli 8:7 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 7 Ndipo Yehova akamwambia Samweli:+ “Sikiliza sauti ya watu kuhusu mambo yote wanayokuambia;+ kwa maana hawakukukataa wewe, bali wamenikataa mimi nisiwe mfalme+ juu yao. Yeremia 25:7 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 7 “‘Lakini hamkunisikiliza mimi,’ asema Yehova, ‘kusudi mnitie uchungu kwa kazi ya mikono yenu, ili kujiletea wenyewe msiba.’+ Luka 10:16 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 16 “Yeye anayewasikiliza+ ninyi ananisikiliza mimi pia. Naye anayewapuuza ninyi ananipuuza mimi pia. Zaidi ya hayo, yeye anayenipuuza+ mimi anampuuza pia yule aliyenituma.”
7 Ndipo Yehova akamwambia Samweli:+ “Sikiliza sauti ya watu kuhusu mambo yote wanayokuambia;+ kwa maana hawakukukataa wewe, bali wamenikataa mimi nisiwe mfalme+ juu yao.
7 “‘Lakini hamkunisikiliza mimi,’ asema Yehova, ‘kusudi mnitie uchungu kwa kazi ya mikono yenu, ili kujiletea wenyewe msiba.’+
16 “Yeye anayewasikiliza+ ninyi ananisikiliza mimi pia. Naye anayewapuuza ninyi ananipuuza mimi pia. Zaidi ya hayo, yeye anayenipuuza+ mimi anampuuza pia yule aliyenituma.”