Mathayo 10:40 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 40 “Yeye anayewapokea ninyi ananipokea mimi pia, naye anayenipokea mimi anampokea pia yule aliyenituma.+ Marko 9:37 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 37 “Yeyote yule anayempokea mmoja wa watoto wachanga kama huyu kwa msingi wa jina langu, ananipokea mimi; na yeyote anayenipokea mimi, anapokea, si mimi tu, bali pia yule aliyenituma.”+ Yohana 5:23 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 23 ili wote wapate kumheshimu Mwana+ kama vile wanavyomheshimu Baba. Yule ambaye hamheshimu Mwana hamheshimu Baba aliyemtuma.+ Yohana 13:20 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 20 Kwa kweli kabisa ninawaambia, Yule anayempokea yeyote ninayemtuma hunipokea mimi pia.+ Naye anayenipokea mimi, humpokea pia yule aliyenituma.”+
40 “Yeye anayewapokea ninyi ananipokea mimi pia, naye anayenipokea mimi anampokea pia yule aliyenituma.+
37 “Yeyote yule anayempokea mmoja wa watoto wachanga kama huyu kwa msingi wa jina langu, ananipokea mimi; na yeyote anayenipokea mimi, anapokea, si mimi tu, bali pia yule aliyenituma.”+
23 ili wote wapate kumheshimu Mwana+ kama vile wanavyomheshimu Baba. Yule ambaye hamheshimu Mwana hamheshimu Baba aliyemtuma.+
20 Kwa kweli kabisa ninawaambia, Yule anayempokea yeyote ninayemtuma hunipokea mimi pia.+ Naye anayenipokea mimi, humpokea pia yule aliyenituma.”+