Watchtower MAKTABA KWENYE MTANDAO
Watchtower
MAKTABA KWENYE MTANDAO
Kiswahili
  • BIBLIA
  • MACHAPISHO
  • MIKUTANO
  • Kutoka 16:8
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 8 Naye Musa akaendelea kusema: “Itakuwa hivyo wakati ambapo Yehova atawapa jioni nyama ya kula na asubuhi mkate wa kuwashibisha, kwa sababu Yehova amesikia manung’uniko yenu mnayonung’unika juu yake. Na sisi ni nani? Manung’uniko yenu si juu yetu, bali ni juu ya Yehova.”+

  • Yohana 12:48
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 48 Yule ambaye hunipuuza wala hapokei maneno yangu ana wa kumhukumu. Neno+ ambalo nimesema ndilo litakalomhukumu katika siku ya mwisho;

  • Yohana 15:23
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 23 Anayenichukia anamchukia Baba yangu pia.+

  • 1 Wathesalonike 4:8
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 8 Kwa hiyo, basi, mtu anayepuuza+ hampuuzi mwanadamu, bali Mungu,+ anayeitia roho yake takatifu+ ndani yenu.

Maktaba Kwenye Mtandao (1980-2025)
Toka
Ingia
  • Kiswahili
  • Shiriki
  • Mapendezi
  • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
  • Masharti ya Utumiaji
  • Sera ya Faragha
  • Mpangilio wa Faragha
  • JW.ORG
  • Ingia
Shiriki