Watchtower MAKTABA KWENYE MTANDAO
Watchtower
MAKTABA KWENYE MTANDAO
Kiswahili
  • BIBLIA
  • MACHAPISHO
  • MIKUTANO
  • Hesabu 21:7
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 7 Mwishowe watu wakamjia Musa na kusema: “Tumetenda dhambi,+ kwa sababu tumesema dhidi ya Yehova na dhidi yako. Tutetee kwa Yehova awaondoe nyoka hawa juu yetu.”+ Naye Musa akawatetea watu.+

  • 1 Samweli 8:7
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 7 Ndipo Yehova akamwambia Samweli:+ “Sikiliza sauti ya watu kuhusu mambo yote wanayokuambia;+ kwa maana hawakukukataa wewe, bali wamenikataa mimi nisiwe mfalme+ juu yao.

  • Isaya 32:6
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 6 kwa sababu mtu asiye na akili atasema upumbavu mtupu,+ na moyo wake utatenda madhara,+ utatenda uasi-imani+ na kusema juu ya Yehova mambo mapotovu, utasababisha nafsi ya mwenye njaa kushinda bila kula,+ naye anasababisha hata mtu mwenye kiu ashinde bila maji ya kunywa.

  • Luka 10:16
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 16 “Yeye anayewasikiliza+ ninyi ananisikiliza mimi pia. Naye anayewapuuza ninyi ananipuuza mimi pia. Zaidi ya hayo, yeye anayenipuuza+ mimi anampuuza pia yule aliyenituma.”

Maktaba Kwenye Mtandao (1980-2025)
Toka
Ingia
  • Kiswahili
  • Shiriki
  • Mapendezi
  • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
  • Masharti ya Utumiaji
  • Sera ya Faragha
  • Mpangilio wa Faragha
  • JW.ORG
  • Ingia
Shiriki