Zaburi 35:16 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 16 Kati ya wenye dhihaka, walioasi imani, kwa ajili ya keki,+Kulikuwako kusaga meno yao dhidi yangu.+ Isaya 10:6 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 6 Nitamtuma yeye juu ya taifa lenye kuasi imani,+ nami nitampa amri juu ya watu wa ghadhabu yangu,+ ili kuchukua nyara nyingi na kuchukua uporaji mwingi na kuwafanya kuwa mahali pa kukanyaga kama udongo wa barabara.+
16 Kati ya wenye dhihaka, walioasi imani, kwa ajili ya keki,+Kulikuwako kusaga meno yao dhidi yangu.+
6 Nitamtuma yeye juu ya taifa lenye kuasi imani,+ nami nitampa amri juu ya watu wa ghadhabu yangu,+ ili kuchukua nyara nyingi na kuchukua uporaji mwingi na kuwafanya kuwa mahali pa kukanyaga kama udongo wa barabara.+