1 Samweli 24:13 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 13 Kama vile inavyosema methali ya watu wa kale, ‘Katika waovu uovu utatoka,’+ lakini mkono wangu mwenyewe hautakuja juu yako. Zaburi 58:2 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 2 Badala yake, kwa moyo mnafanya mambo ambayo ni ya kukosa uadilifu kabisa duniani,+Na kutayarisha barabara kwa ajili ya jeuri ya mikono yenu!+ Mika 2:1 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 2 “Ole wao wanaopanga mambo yenye kudhuru, na wale wanaozoea kufanya lililo baya, vitandani mwao!+ Wao hulifanya kwenye nuru ya asubuhi,+ kwa sababu hilo liko katika uwezo wa mikono yao.+
13 Kama vile inavyosema methali ya watu wa kale, ‘Katika waovu uovu utatoka,’+ lakini mkono wangu mwenyewe hautakuja juu yako.
2 Badala yake, kwa moyo mnafanya mambo ambayo ni ya kukosa uadilifu kabisa duniani,+Na kutayarisha barabara kwa ajili ya jeuri ya mikono yenu!+
2 “Ole wao wanaopanga mambo yenye kudhuru, na wale wanaozoea kufanya lililo baya, vitandani mwao!+ Wao hulifanya kwenye nuru ya asubuhi,+ kwa sababu hilo liko katika uwezo wa mikono yao.+