Mwanzo 4:7 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 7 Ukigeuka utende mema, je, hutainuliwa?+ Lakini usipogeuka utende mema, kuna dhambi inayovizia katika mwingilio, nayo inakutamani+ wewe. Je, wewe utaishinda?”+ Methali 11:5 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 5 Uadilifu wa mtu asiye na lawama ndio utakaoinyoosha njia yake,+ lakini mwovu ataanguka katika uovu wake mwenyewe.+ Mathayo 7:17 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 17 Vivyo hivyo kila mti mzuri huzaa matunda mazuri, lakini kila mti uliooza huzaa matunda yasiyofaa;+ Wagalatia 6:7 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 7 Msipotoshwe:+ Mungu si wa kudhihakiwa.+ Kwa maana lolote lile analopanda mtu, atavuna hilo pia;+
7 Ukigeuka utende mema, je, hutainuliwa?+ Lakini usipogeuka utende mema, kuna dhambi inayovizia katika mwingilio, nayo inakutamani+ wewe. Je, wewe utaishinda?”+
5 Uadilifu wa mtu asiye na lawama ndio utakaoinyoosha njia yake,+ lakini mwovu ataanguka katika uovu wake mwenyewe.+
17 Vivyo hivyo kila mti mzuri huzaa matunda mazuri, lakini kila mti uliooza huzaa matunda yasiyofaa;+