Watchtower MAKTABA KWENYE MTANDAO
Watchtower
MAKTABA KWENYE MTANDAO
Kiswahili
  • BIBLIA
  • MACHAPISHO
  • MIKUTANO
  • Mwanzo 4:7
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 7 Ukigeuka utende mema, je, hutainuliwa?+ Lakini usipogeuka utende mema, kuna dhambi inayovizia katika mwingilio, nayo inakutamani+ wewe. Je, wewe utaishinda?”+

  • Methali 11:5
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 5 Uadilifu wa mtu asiye na lawama ndio utakaoinyoosha njia yake,+ lakini mwovu ataanguka katika uovu wake mwenyewe.+

  • Mathayo 7:17
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 17 Vivyo hivyo kila mti mzuri huzaa matunda mazuri, lakini kila mti uliooza huzaa matunda yasiyofaa;+

  • Wagalatia 6:7
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 7 Msipotoshwe:+ Mungu si wa kudhihakiwa.+ Kwa maana lolote lile analopanda mtu, atavuna hilo pia;+

Maktaba Kwenye Mtandao (1980-2025)
Toka
Ingia
  • Kiswahili
  • Shiriki
  • Mapendezi
  • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
  • Masharti ya Utumiaji
  • Sera ya Faragha
  • Mpangilio wa Faragha
  • JW.ORG
  • Ingia
Shiriki