-
Luka 10:16Tafsiri ya Ulimwengu Mpya ya Maandiko ya Kigiriki ya Kikristo
-
-
16 “Yeye awasikilizaye nyinyi hunisikiliza mimi pia. Naye awapuuzaye nyinyi hunipuuza mimi pia. Zaidi ya hayo, yeye anipuuzaye mimi humpuuza pia yeye aliyenituma.”
-