Mathayo 10:40 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 40 “Yeyote anayewapokea ninyi ananipokea mimi pia, na yeyote anayenipokea mimi anampokea pia Yule aliyenituma.+ Marko 9:37 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 37 “Yeyote anayempokea mtoto mdogo+ kama huyu kwa msingi wa jina langu ananipokea mimi pia; na yeyote anayenipokea mimi hanipokei mimi tu, bali pia Yule aliyenituma.”+ Yohana 13:20 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 20 Kwa kweli ninawaambia, yeyote anayempokea yule ninayemtuma ananipokea mimi pia,+ na yeyote anayenipokea, anampokea pia Yule aliyenituma.”+
40 “Yeyote anayewapokea ninyi ananipokea mimi pia, na yeyote anayenipokea mimi anampokea pia Yule aliyenituma.+
37 “Yeyote anayempokea mtoto mdogo+ kama huyu kwa msingi wa jina langu ananipokea mimi pia; na yeyote anayenipokea mimi hanipokei mimi tu, bali pia Yule aliyenituma.”+
20 Kwa kweli ninawaambia, yeyote anayempokea yule ninayemtuma ananipokea mimi pia,+ na yeyote anayenipokea, anampokea pia Yule aliyenituma.”+