Mathayo 25:40 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 40 Mfalme atawajibu, ‘Kwa kweli ninawaambia, kwa kadiri ambavyo mlimtendea aliye mdogo zaidi kati ya hawa ndugu zangu, mlinitendea mimi.’+ Luka 10:16 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 16 “Yeyote anayewasikiliza ninyi ananisikiliza mimi pia.+ Na yeyote anayewapuuza ninyi ananipuuza mimi pia. Isitoshe, yeyote anayenipuuza mimi anampuuza pia Yule aliyenituma.”+ Yohana 12:44 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 44 Hata hivyo, Yesu akasema kwa sauti kubwa: “Yeyote anayeniamini, haniamini mimi tu bali pia Yule aliyenituma;+ Yohana 13:20 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 20 Kwa kweli ninawaambia, yeyote anayempokea yule ninayemtuma ananipokea mimi pia,+ na yeyote anayenipokea, anampokea pia Yule aliyenituma.”+
40 Mfalme atawajibu, ‘Kwa kweli ninawaambia, kwa kadiri ambavyo mlimtendea aliye mdogo zaidi kati ya hawa ndugu zangu, mlinitendea mimi.’+
16 “Yeyote anayewasikiliza ninyi ananisikiliza mimi pia.+ Na yeyote anayewapuuza ninyi ananipuuza mimi pia. Isitoshe, yeyote anayenipuuza mimi anampuuza pia Yule aliyenituma.”+
44 Hata hivyo, Yesu akasema kwa sauti kubwa: “Yeyote anayeniamini, haniamini mimi tu bali pia Yule aliyenituma;+
20 Kwa kweli ninawaambia, yeyote anayempokea yule ninayemtuma ananipokea mimi pia,+ na yeyote anayenipokea, anampokea pia Yule aliyenituma.”+