Methali 19:17 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 17 Anayemwonyesha kibali mtu wa hali ya chini anamkopesha Yehova,+Naye Atamlipa* kwa anayotenda.+ Mathayo 10:40 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 40 “Yeyote anayewapokea ninyi ananipokea mimi pia, na yeyote anayenipokea mimi anampokea pia Yule aliyenituma.+ Marko 9:41 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 41 Na yeyote anayewapa kikombe cha maji ya kunywa kwa sababu ninyi ni wa Kristo,+ kwa kweli ninawaambia hatapoteza kamwe thawabu yake.+ Waebrania 6:10 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 10 Kwa maana Mungu hakosi kuwa mwadilifu hivi kwamba asahau kazi yenu na upendo mlioonyesha kwa ajili ya jina lake,+ kwa kuhudumu na kuendelea kuwahudumia watakatifu.
40 “Yeyote anayewapokea ninyi ananipokea mimi pia, na yeyote anayenipokea mimi anampokea pia Yule aliyenituma.+
41 Na yeyote anayewapa kikombe cha maji ya kunywa kwa sababu ninyi ni wa Kristo,+ kwa kweli ninawaambia hatapoteza kamwe thawabu yake.+
10 Kwa maana Mungu hakosi kuwa mwadilifu hivi kwamba asahau kazi yenu na upendo mlioonyesha kwa ajili ya jina lake,+ kwa kuhudumu na kuendelea kuwahudumia watakatifu.