Mathayo 10:40 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 40 “Yeyote anayewapokea ninyi ananipokea mimi pia, na yeyote anayenipokea mimi anampokea pia Yule aliyenituma.+ Luka 9:48 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 48 akawaambia: “Yeyote anayempokea mtoto huyu kwa msingi wa jina langu ananipokea mimi pia, na yeyote anayenipokea, anampokea pia Yule aliyenituma.+ Kwa maana anayejiendesha kama mdogo zaidi kati yenu nyote ndiye mkuu.”+ Yohana 13:20 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 20 Kwa kweli ninawaambia, yeyote anayempokea yule ninayemtuma ananipokea mimi pia,+ na yeyote anayenipokea, anampokea pia Yule aliyenituma.”+
40 “Yeyote anayewapokea ninyi ananipokea mimi pia, na yeyote anayenipokea mimi anampokea pia Yule aliyenituma.+
48 akawaambia: “Yeyote anayempokea mtoto huyu kwa msingi wa jina langu ananipokea mimi pia, na yeyote anayenipokea, anampokea pia Yule aliyenituma.+ Kwa maana anayejiendesha kama mdogo zaidi kati yenu nyote ndiye mkuu.”+
20 Kwa kweli ninawaambia, yeyote anayempokea yule ninayemtuma ananipokea mimi pia,+ na yeyote anayenipokea, anampokea pia Yule aliyenituma.”+