Methali 18:12 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 12 Kabla ya kuanguka kwa kishindo moyo wa mtu huwa na kiburi,+Na kabla ya utukufu kuna unyenyekevu.+ Mathayo 18:4, 5 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 4 Kwa hiyo, yeyote atakayejinyenyekeza kama mtoto huyu mdogo ndiye mkuu zaidi katika Ufalme wa mbinguni;+ 5 na yeyote anayempokea mtoto mdogo kama huyu kwa msingi wa jina langu ananipokea mimi pia. Mathayo 23:11, 12 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 11 Lakini aliye mkuu zaidi kati yenu lazima awe mhudumu wenu.+ 12 Yeyote anayejiinua atanyenyekezwa,+ na yeyote anayejinyenyekeza atainuliwa.+
4 Kwa hiyo, yeyote atakayejinyenyekeza kama mtoto huyu mdogo ndiye mkuu zaidi katika Ufalme wa mbinguni;+ 5 na yeyote anayempokea mtoto mdogo kama huyu kwa msingi wa jina langu ananipokea mimi pia.
11 Lakini aliye mkuu zaidi kati yenu lazima awe mhudumu wenu.+ 12 Yeyote anayejiinua atanyenyekezwa,+ na yeyote anayejinyenyekeza atainuliwa.+