Mathayo 20:26 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 26 Haipaswi kuwa hivyo kati yenu;+ bali yeyote anayetaka kuwa mkubwa kati yenu lazima awe mhudumu wenu,+ Marko 9:35 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 35 Basi akaketi na kuwaita wale 12 akawaambia: “Yeyote anayetaka kuwa wa kwanza, lazima awe wa mwisho kati ya wote na mhudumu wa wote.”+ Luka 22:26 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 26 Hata hivyo, ninyi hampaswi kuwa hivyo.+ Lakini yule aliye mkuu zaidi kati yenu anapaswa kuwa mdogo zaidi,+ na yule anayeongoza awe kama anayehudumu.
26 Haipaswi kuwa hivyo kati yenu;+ bali yeyote anayetaka kuwa mkubwa kati yenu lazima awe mhudumu wenu,+
35 Basi akaketi na kuwaita wale 12 akawaambia: “Yeyote anayetaka kuwa wa kwanza, lazima awe wa mwisho kati ya wote na mhudumu wa wote.”+
26 Hata hivyo, ninyi hampaswi kuwa hivyo.+ Lakini yule aliye mkuu zaidi kati yenu anapaswa kuwa mdogo zaidi,+ na yule anayeongoza awe kama anayehudumu.