-
Mathayo 20:26-28Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
-
-
26 Haipaswi kuwa hivyo kati yenu;+ bali yeyote anayetaka kuwa mkubwa kati yenu lazima awe mhudumu wenu,+ 27 na yeyote anayetaka kuwa wa kwanza kati yenu lazima awe mtumwa wenu.+ 28 Kama vile Mwana wa binadamu alivyokuja, si kuhudumiwa, bali kuhudumu+ na kutoa uhai wake* uwe fidia badala ya wengi.”+
-
-
Marko 10:43-45Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
-
-
43 Haipaswi kuwa hivyo kati yenu; lakini yeyote anayetaka kuwa mkubwa kati yenu lazima awe mhudumu wenu,+ 44 na yeyote anayetaka kuwa wa kwanza kati yenu lazima awe mtumwa wa wote. 45 Kwa maana hata Mwana wa binadamu alikuja, si kuhudumiwa, bali kuhudumu+ na kutoa uhai wake uwe* fidia badala ya wengi.”+
-