Watchtower MAKTABA KWENYE MTANDAO
Watchtower
MAKTABA KWENYE MTANDAO
Kiswahili
  • BIBLIA
  • MACHAPISHO
  • MIKUTANO
  • Methali 15:33
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 33 Kumwogopa Yehova ni mazoezi ya kupata hekima,+

      Na kabla ya utukufu kuna unyenyekevu.+

  • Mathayo 20:26
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 26 Haipaswi kuwa hivyo kati yenu;+ bali yeyote anayetaka kuwa mkubwa kati yenu lazima awe mhudumu wenu,+

  • Mathayo 23:12
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 12 Yeyote anayejiinua atanyenyekezwa,+ na yeyote anayejinyenyekeza atainuliwa.+

  • Luka 9:48
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 48 akawaambia: “Yeyote anayempokea mtoto huyu kwa msingi wa jina langu ananipokea mimi pia, na yeyote anayenipokea, anampokea pia Yule aliyenituma.+ Kwa maana anayejiendesha kama mdogo zaidi kati yenu nyote ndiye mkuu.”+

  • Luka 14:11
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 11 Kwa maana kila mtu anayejiinua atanyenyekezwa, na yeyote anayejinyenyekeza atainuliwa.”+

  • Luka 22:26
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 26 Hata hivyo, ninyi hampaswi kuwa hivyo.+ Lakini yule aliye mkuu zaidi kati yenu anapaswa kuwa mdogo zaidi,+ na yule anayeongoza awe kama anayehudumu.

  • Yakobo 4:10
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 10 Jinyenyekezeni machoni pa Yehova,*+ naye atawainua.+

  • 1 Petro 5:5
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 5 Vivyo hivyo, enyi vijana, jitiisheni kwa wanaume wazee.*+ Lakini ninyi nyote mtendeane kwa* unyenyekevu,* kwa sababu Mungu huwapinga wenye majivuno, lakini huwapa wanyenyekevu fadhili zisizostahiliwa.+

Maktaba Kwenye Mtandao (1980-2025)
Toka
Ingia
  • Kiswahili
  • Shiriki
  • Mapendezi
  • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
  • Masharti ya Utumiaji
  • Sera ya Faragha
  • Mpangilio wa Faragha
  • JW.ORG
  • Ingia
Shiriki