Methali 29:23 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 23 Kiburi cha mtu kitamnyenyekeza,+Lakini yeyote aliye mnyenyekevu rohoni atapata utukufu.+ Mathayo 23:12 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 12 Yeyote anayejiinua atanyenyekezwa,+ na yeyote anayejinyenyekeza atainuliwa.+