8 Zaidi ya hayo, alipokuja akiwa mwanadamu, alijinyenyekeza na kuwa mtiifu mpaka kifo,+ ndiyo, kifo juu ya mti wa mateso.+ 9 Kwa sababu hiyo, Mungu alimpandisha kwenye cheo cha juu zaidi+ na kumpa kwa fadhili jina lililo juu kuliko kila jina lingine,+