25 Tafadhali, bwana wangu asiweke moyo wake juu ya mtu huyu asiyefaa kitu,+ Nabali, kwa maana, kama lilivyo jina lake, ndivyo alivyo yeye. Nabali ndilo jina lake, na ukosefu wake wa akili uko pamoja naye.+ Lakini mimi kijakazi wako, sikuwaona wale vijana wa bwana wangu uliokuwa umewatuma.