-
Yeremia 23:28Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
-
-
28 Nabii aliye na ndoto na asimulie ndoto hiyo, lakini yule aliye na neno langu anapaswa kulisema neno langu kwa ukweli.”
“Nyasi ina uhusiano gani na nafaka?” auliza Yehova.
-