Yeremia 1:7 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 7 Kisha Yehova akaniambia: “Usiseme, ‘Mimi ni mvulana tu.’ Kwa maana ni lazima uende kwa wote nitakaokutuma kwao,Nawe unapaswa kusema kila jambo nitakalokuamuru.+ Yeremia Fahirisi ya Machapisho ya Watch Tower 1996-2012 1:7 jr 191 Yeremia Mwongozo wa Utafiti wa Mashahidi wa Yehova—Toleo la 2019 1:7 Yeremia, uku. 191 Mnara wa Mlinzi,4/1/1988, kur. 10-11
7 Kisha Yehova akaniambia: “Usiseme, ‘Mimi ni mvulana tu.’ Kwa maana ni lazima uende kwa wote nitakaokutuma kwao,Nawe unapaswa kusema kila jambo nitakalokuamuru.+