7 Kisha Yehova akamwambia Musa: “Tazama, nimekufanya kuwa kama Mungu kwa Farao, na Haruni ndugu yako atakuwa nabii wako.+ 2 Unapaswa kurudia kila jambo nitakalokuamuru, na Haruni ndugu yako atazungumza na Farao, naye Farao atawaruhusu Waisraeli watoke katika nchi yake.