Yeremia 1:7 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 7 Na Yehova akaendelea kuniambia: “Usiseme, ‘Mimi ni mvulana tu.’ Lakini kwa wale wote nitakaokutuma kwao, unapaswa kwenda; na kila jambo nitakalokuamuru, unapaswa kusema.+ Yeremia Fahirisi ya Machapisho ya Watch Tower 1996-2012 1:7 jr 191 Yeremia Mwongozo wa Utafiti wa Mashahidi wa Yehova—Toleo la 2019 1:7 Yeremia, uku. 191 Mnara wa Mlinzi,4/1/1988, kur. 10-11
7 Na Yehova akaendelea kuniambia: “Usiseme, ‘Mimi ni mvulana tu.’ Lakini kwa wale wote nitakaokutuma kwao, unapaswa kwenda; na kila jambo nitakalokuamuru, unapaswa kusema.+