2 Wewe—wewe utasema mambo yote nitakayokuamuru;+ naye Haruni ndugu yako atamwambia Farao,+ naye lazima awaruhusu wana wa Israeli waondoke nchini mwake.+
20 Ndipo Mungu akamjia Balaamu usiku na kumwambia: “Ikiwa wanaume hao wamekuja kukuita, ondoka, nenda pamoja nao. Lakini neno nitakalosema nawe ndilo tu utakalosema.”+