Watchtower MAKTABA KWENYE MTANDAO
Watchtower
MAKTABA KWENYE MTANDAO
Kiswahili
  • BIBLIA
  • MACHAPISHO
  • MIKUTANO
  • Kutoka 7:2
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 2 Wewe—wewe utasema mambo yote nitakayokuamuru;+ naye Haruni ndugu yako atamwambia Farao,+ naye lazima awaruhusu wana wa Israeli waondoke nchini mwake.+

  • Hesabu 22:20
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 20 Ndipo Mungu akamjia Balaamu usiku na kumwambia: “Ikiwa wanaume hao wamekuja kukuita, ondoka, nenda pamoja nao. Lakini neno nitakalosema nawe ndilo tu utakalosema.”+

  • 2 Mambo ya Nyakati 18:13
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 13 Lakini Mikaya akasema: “Kama Yehova anavyoishi,+ lile ambalo Mungu wangu atasema, hilo ndilo nitakalosema.”+

  • Yeremia 11:2
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 2 “Sikieni maneno ya agano hili!

      “Nawe uyaseme+ kwa watu wa Yuda na kwa wakaaji wa Yerusalemu,

  • Ezekieli 3:4
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 4 Naye akaendelea kuniambia: “Mwana wa binadamu, nenda, uingie katikati ya nyumba+ ya Israeli, nawe lazima uwaambie maneno yangu.

Maktaba Kwenye Mtandao (1980-2025)
Toka
Ingia
  • Kiswahili
  • Shiriki
  • Mapendezi
  • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
  • Masharti ya Utumiaji
  • Sera ya Faragha
  • Mpangilio wa Faragha
  • JW.ORG
  • Ingia
Shiriki