2 Mambo ya Nyakati 18:13 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 13 Lakini Mikaya akasema: “Kwa hakika kama Yehova anavyoishi, jambo lolote ambalo Mungu wangu atasema ndilo nitakalosema.”+
13 Lakini Mikaya akasema: “Kwa hakika kama Yehova anavyoishi, jambo lolote ambalo Mungu wangu atasema ndilo nitakalosema.”+