1 Wafalme 22:14 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 14 Lakini Mikaya akasema: “Kama Yehova anavyoishi,+ lile ambalo Yehova ataniambia, hilo ndilo nitakalosema.”+ Yeremia 23:28 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 28 Nabii ambaye ana ndoto, na asimulie ndoto hiyo; lakini yule ambaye ana neno langu, na aliseme neno langu kwa ukweli.”+ “Nyasi ina uhusiano gani na nafaka?”+ asema Yehova. Yeremia 42:4 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 4 Ndipo Yeremia nabii akawaambia: “Nimesikia. Tazama, ninasali kwa Yehova Mungu wenu kulingana na maneno yenu;+ na hakika itakuwa kwamba kila neno ambalo Yehova atawajibu ninyi mimi nitawaambia.+ Sitazuilia neno lolote kutoka kwenu.”+ Matendo 20:27 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 27 kwa maana sikuepuka kuwaambia ninyi mashauri+ yote ya Mungu.
14 Lakini Mikaya akasema: “Kama Yehova anavyoishi,+ lile ambalo Yehova ataniambia, hilo ndilo nitakalosema.”+
28 Nabii ambaye ana ndoto, na asimulie ndoto hiyo; lakini yule ambaye ana neno langu, na aliseme neno langu kwa ukweli.”+ “Nyasi ina uhusiano gani na nafaka?”+ asema Yehova.
4 Ndipo Yeremia nabii akawaambia: “Nimesikia. Tazama, ninasali kwa Yehova Mungu wenu kulingana na maneno yenu;+ na hakika itakuwa kwamba kila neno ambalo Yehova atawajibu ninyi mimi nitawaambia.+ Sitazuilia neno lolote kutoka kwenu.”+