Watchtower MAKTABA KWENYE MTANDAO
Watchtower
MAKTABA KWENYE MTANDAO
Kiswahili
  • BIBLIA
  • MACHAPISHO
  • MIKUTANO
  • 1 Wafalme 22:14
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 14 Lakini Mikaya akasema: “Kama Yehova anavyoishi,+ lile ambalo Yehova ataniambia, hilo ndilo nitakalosema.”+

  • Yeremia 23:28
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 28 Nabii ambaye ana ndoto, na asimulie ndoto hiyo; lakini yule ambaye ana neno langu, na aliseme neno langu kwa ukweli.”+

      “Nyasi ina uhusiano gani na nafaka?”+ asema Yehova.

  • Yeremia 42:4
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 4 Ndipo Yeremia nabii akawaambia: “Nimesikia. Tazama, ninasali kwa Yehova Mungu wenu kulingana na maneno yenu;+ na hakika itakuwa kwamba kila neno ambalo Yehova atawajibu ninyi mimi nitawaambia.+ Sitazuilia neno lolote kutoka kwenu.”+

  • Matendo 20:27
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 27 kwa maana sikuepuka kuwaambia ninyi mashauri+ yote ya Mungu.

Maktaba Kwenye Mtandao (1980-2025)
Toka
Ingia
  • Kiswahili
  • Shiriki
  • Mapendezi
  • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
  • Masharti ya Utumiaji
  • Sera ya Faragha
  • Mpangilio wa Faragha
  • JW.ORG
  • Ingia
Shiriki