-
Yeremia 42:4Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
-
-
4 Nabii Yeremia akawajibu: “Nimewasikia, nami ninasali kwa Yehova Mungu wenu kulingana na ombi lenu; na kila neno ambalo Yehova atawajibu, nitawaambia. Sitawaficha neno lolote.”
-