Yeremia 42:4 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 4 Ndipo Yeremia nabii akawaambia: “Nimesikia. Tazama, ninasali kwa Yehova Mungu wenu kulingana na maneno yenu;+ na hakika itakuwa kwamba kila neno ambalo Yehova atawajibu ninyi mimi nitawaambia.+ Sitazuilia neno lolote kutoka kwenu.”+
4 Ndipo Yeremia nabii akawaambia: “Nimesikia. Tazama, ninasali kwa Yehova Mungu wenu kulingana na maneno yenu;+ na hakika itakuwa kwamba kila neno ambalo Yehova atawajibu ninyi mimi nitawaambia.+ Sitazuilia neno lolote kutoka kwenu.”+