1 Samweli 3:18 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 18 Basi Samweli akamwambia maneno hayo yote, wala hakumficha lolote. Ndipo yeye akasema: “Ni Yehova. Na afanye yaliyo mema machoni pake.”+ Matendo 20:20 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 20 wakati uleule sikuepuka kuwaambia ninyi lolote kati ya mambo yenye faida wala kuwafundisha+ ninyi hadharani na nyumba+ kwa nyumba.
18 Basi Samweli akamwambia maneno hayo yote, wala hakumficha lolote. Ndipo yeye akasema: “Ni Yehova. Na afanye yaliyo mema machoni pake.”+
20 wakati uleule sikuepuka kuwaambia ninyi lolote kati ya mambo yenye faida wala kuwafundisha+ ninyi hadharani na nyumba+ kwa nyumba.