Ayubu 1:21 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 21 akasema:“Mimi nilitoka tumboni mwa mama yangu nikiwa uchi,+Nami nitarudi huko nikiwa uchi.+Yehova ametoa,+ na Yehova amechukua.+Jina la Yehova na liendelee kubarikiwa.”+ Maombolezo 3:39 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 39 Mwanadamu aliye hai, mwanamume, anawezaje kuzoea kulalamika+ kwa sababu ya dhambi yake?+ Matendo 21:14 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 14 Alipokataa kushawishika, tukakubali kimyakimya maneno haya: “Mapenzi+ ya Yehova na yatendeke.”
21 akasema:“Mimi nilitoka tumboni mwa mama yangu nikiwa uchi,+Nami nitarudi huko nikiwa uchi.+Yehova ametoa,+ na Yehova amechukua.+Jina la Yehova na liendelee kubarikiwa.”+